DUNIA

 

ULIMWENGU

       
       
       
       
Maskani Qurani Sunna Fiqhi Sera Tarehe Dua Masuala Fatawa Dunia
Uislamu BBC-BUT CAS-CB DAIMA-DAR DW-IRAN IPP-MJRA MCHI-NHK RFA-UHURU SWN-WN Viungo

 

Ulimwengu: Tarehe

اضغط هنا لعرض تفسير ابن كثير للآية

Al Imran

3

14

14 3 آل عمران

Wamepambiwa watu kupenda matamanio ya wanawake, na watoto wa kiume, na mirundi ya dhahabu na fedha, na farasi anayelishia malishoni mwenye alama, na mifugo na mashamba. Hayo ni starehe za maisha ya kidunia, na Mwenyezi Mungu ndiye mwenye marejeo mema.

                         

Ulimwengu: Historia

Ulimwengu kwa ujumla na hasa dunia imeumbwa zamani sana kabla ya binadamu kuletwa au kuwa ni kitu kinachojulikana. Mwanadamu ametanguliwa na viumbe vingi duniani, na kwa hivyo yeye anachukuliwa ni mgeni zaidi kuliko wanyama, samaki, vidudu na miti. Kabla hatujazungumzia ulimwengu na tarehe yake, tungependa kueleza kidogo kuhusu hii dunia yetu na madola yaliyokuwemo.

Eneo la dunia ni [510,066,000 kilomita mraba] kwa ujumla.  Maji yamechukuwa eneo kubwa zaidi kuliko ardhi, nayo takriban ni asilimia 70.9 ya dunia yote, yakiwa yameenea kwenye masafa ya [361,419,000 kilomita mraba], na katika hayo asilimia 97 ni maji ya bahari yaliyochukuwa eneo la [335,258,000 kilomita mraba], na yaliyobakia yakiwa asilimia 3 ni maji matamu katika mito na maziwa. Ardhi au nchi kavu kwa upande mwengine imekalia sehemu iliyobakia ya asilimia 29.1 ya dunia katika eneo la [148,647,000 kilomita mraba]

Ikijieleza zaidi dunia, inasema kuwa kuna katika ulimwengu wetu huu, mabara saba (7): Asia, Afrika, Marekani ya kaskazini, Marekani ya kusini, Antaktika, Ulaya, na Australia. Bara lililochukuwa eneo kubwa zaidi duniani ni bara la Asia ambalo lina eneo la 44,579,000 kilomita mraba, kisha Afrika lenye eneo 30,065,000 kilomita mraba, likifuatiwa na bara la Marekani ya kaskazini lenye eneo la 24,256,000 kilomita mraba, kisha la Marekani ya kusini lenye eneo la 17,819,000 kilomita mraba, Antaktika ni bara kubwa kuliko bara la Uropa lenye eneo la 13,209,000 kilomita mraba, kisha linafuatiwa na bara la Ulaya lenye eneo la 9,938,000 kilomita mraba, na mwisho ni bara la Australia ambalo ndio dogo zaidi likiwa na eneo la 7,687,000 kilomita mraba.

Nchi za Ulimwengu

Kuna nchi nyingi duniani zikitafautiana kwa ukubwa, nguvu, idadi ya watu, mali asili, uzuri wa mandhari ya nchi na nishati. Kwa ujumla, kuna nchi 192 katika dunia, zikizidi na kupungua kulingana na vita na kutekwa kwa baadhi ya nchi au makubaliano ya kimataifa ya kuungana na kuwa kitu kimoja. Kutokana na nchi 192 za dunia, 53 ziko Afrika, 46 katika Ulaya, 44 katika Asia, 23 katika Marekani ya Kaskazini, 14 kwenye Oshania na Australia, na 12 katika Marekani ya Kusini.

Madola ya Ulimwengu

Bara la Afrika Bara la Asia Marekani Kaskazini Marekani Kusini Bara la Oshania Bara la Ulaya
Algeria (Algiers) Afghanistani (Kabul) Antigua na Barbuda
(St. John's)
Bolivia (Sucre) Australia (Canberra) Albania (Tirane)
Angola (Luanda) Azerbaijan (Baku) Bahamas (Nassau) Brazil (Brasilia) Fiji (Suva) Andorra (Andorra la Vella)
Benin (Port-Novo) Bahrain (Manama) Barbados (Bridgetown) Chile (Santiago) Kiribati (Bairiki) Armenia (Yerevan)
Botswana (Gaborone) Bangladesh (Dhaka)  

Belize (Belmopan)

 

Colombia (Bogota) Marshall Islands (Majuro) Austria (Vienna)
Burundi (Bujumbura) Bhutan (Thimphu)  

Canada (Ottawa)

 

Ecuador (Quito) Micronesia (Palikir) Belarus (Minsk)
C. A. R. (Bangui) Brunei (Bander Seri Begawan) Costa Rica (San Jose) Guyana (Georgetown) Nauru (hakuna mji mkuu rasmi) Belgium (Brussels)
Chad (N'Djamena) Burma/Myanmar (Yangon) Cuba (Havana)

 

Paraguay (Asuncion) New Zealand (Wellington) Bulgaria (Sofia)
Comoros (Moroni) Cambodia (Phnom Penh)  

Dominica (Roseau)

 

Peru (Lima) Palau (Koror) Cape Verde (Praia)
Congo (Brazzaville) China (Beijing)  

Dominican Rep (Santo Domingo)

 

Suriname (Paramaribo) Papua New Guinea (Port Moresby) Croatia (Zagreb)
DRC (Kinshasa) East Timor (Dili)  

El Salvador (San Salvador)

 

Uruguay (Montevideo) Samoa (Apia) Cyprus (Nicosia)
Cote d'Ivoire (Yamoussoukro) India (New Delhi)  

Grenada (St. George's)

 

Venezuela (Caracas) Tonga (Nuku'alofa) Czech Republic (Prague)
Djibouti (Djibouti) Indonesia (Jakarta)  

Guatemala (Guatemala City)

 

  Tuvalu (Funafuti) Denmark (Copenhagen)
Egypt (Cairo) Iran (Tehran) Haiti
(Port-au-Prince)
  Vanuatu
(Port-Vila)
Estonia (Tallinn)
Equatorial Guinea (Malabo) Iraq (Baghdad) Honduras (Tegucigalpa)   Visiwa vya Solomoni (Honiara) Finland (Helsinki)
Eritrea (Asmara) Israel (Jerusalem) Jamaica (Kingston)

 

    Georgia (Tbilisi)
Ethiopia (Addis Ababa) Japan (Tokyo)  

Mexico
(Mexico City)

 

    Germany (Berlin)
Gabon (Liberville) Jordan (Amman)  

Nicaragua (Managua)

 

    Greece (Athens)
Gambia (Banjul) Kazakstan (Astana) Panama (Panama City)     Hungary (Budapest)
Ghana (Accra) Korea Kaskazini (Pyongyang) Saint Kitts na Nevis (Basseterre)     Iceland (Reykjavik)
Guinea (Conakry) Korea Kusini (Seoul) Saint Lucia (Castries)     Ireland (Dublin)
Guinea-Bissau (Bissau)
Kuwait
(Jiji la Kuwait)

Saint Vincent na Grenadines (Kingstown)
    Italy (Rome)
Kenya (Nairobi) Kyrgyzstan (Bishkek) Trinidad na Tobago (Port-of-Spain)     Latvia (Riga)
Lesotho (Maseru) Laos (Vientiane) United States (Washington D.C.)     Liechtenstein (Vaduz)
Liberia (Monrovia) Lebanon (Beirut)       Lithuania (Vilnius)
Libya (Tripoli) Malaysia (Kuala Lumpur)       Luxembourg (Luxembourg)
Madagascar (Antananarivo) Maldives (Male)       Macedonia (Skopje)
Malawi (Lilongwe) Mongolia (Ulan Bator)       Malta (Valletta)
Mali (Bamako) Nepal (Kathmandu)       Moldova (Chisinau)
Mauritania (Nouakchott) Oman (Muscat)       Monaco (Monaco)
Mauritius (Port Louis) Pakistan (Islamabad)       Netherlands (Amsterdam, The Hague)
Morocco (Rabat) Philippines (Manila)       Netherlands (Amsterdam, The Hague)
Mozambique (Maputo) Qatar (Doha)       Norway (Oslo)
Namibia (Windhoek) Russian Federation (Moscow)       Poland (Warsaw)
Niger (Niamey) Saudi Arabia (Riyadh)       Portugal (Lisbon)
Nigeria (Abuja) Singapore (Jiji la Singapore)       Romania (Bucharest)
Rwanda (Kigali) Sri Lanka (Colombo)       San Marino (San Marino)
Sao Tome na Principe (Sao Tome) Syria (Damascus)       Serbia & Montenegro
Senegal (Dakar) Taiwan (Taipei)       Slovakia (Bratislava)
Seychelles (Victoria) Tajikistan (Dushanbe)       Slovenia (Ljubljana)

 

Sierra Leone (Freetown) Thailand (Bangkok)       Spain (Madrid)

 

Somalia (Mogadishu) Turkey (Ankara)       Sweden (Stockholm)

 

South Africa (Pretoria, Cape Town, Bloemfontein) Turkmenistan (Ashgabat)       Switzerland (Bern)

 

Sudan (Khartoum) United Arab Emirates (Abu Dhabi)     ` Ukraine (Kiev)

 

Swaziland (Mbabane) Vietnam (Hanoi)       United Kingdom (London)

 

Tanzania (Dodoma) Yemen (Sana)       Vatican City
Togo (Lome)          
Tunisia (Tunis)          
Uganda (Kampala)          
Zambia (Lusaka)          
Zimbabwe (Harare)          

Western Sahara

 

         
           

Nchi za kiislamu

Afghanistan

Albania

Algeria

Azerbaijan

Bahrain

Bangladesh

Benin

Brunei

Burkina Faso

Cameroon

Chad

Comoros

Djibouti

Egypt

Gambia

Guinea

G.-Bissau

Indonesia

Iran

Iraq

Jordan

Kazakhstan

Kuwait

Kyrgyzstan

Lebanon

Libya

Malaysia

Maldives

Mali

Mauritania

Morocco

Niger

Nigeria

 Oman

Pakistan

Palestine

Qatar

Saudi Arabia

Senegal

Sierra Leone

Somalia

Sudan

Syria

Tajikistan

Tunisia

 

Turkey

Turkmenistan

UAE

Uzbekistan

      Western Sahara

Yemen

 

Côte d'Ivoire

Ethiopia